Uislamu nchini Somalia

Uislamu kwa nchi

Karibia watu wote wa Somalia ni Waislamu wanaofuata dhehebu la Sunni. Kwa zaidi ya miaka 1400, Uislamu umechukua nafasi kubwa katika utamaduni na jamii nzima ya Kisomali.[1]

  1. A Country Study: Somalia from The Library of Congress

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne